2 Samuel 5:17

Daudi Awashinda Wafilisti

(1 Nyakati 14:8-17)

17 aWafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.
Copyright information for SwhNEN